Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:19 - Swahili Revised Union Version

Akamwambia huyu naye, Wewe uwe juu ya miji mitano.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akamwambia pia: ‘Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akamwambia pia: ‘Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akamwambia pia: ‘Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Bwana wake akajibu, ‘Nakupa mamlaka juu ya miji mitano.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Bwana wake akajibu, ‘Nakupa mamlaka juu ya miji mitano.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwambia huyu naye, Wewe uwe juu ya miji mitano.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao


Akaja wa pili, akasema, Bwana, fungu lako limeleta mafungu matano faida.


Akaja mwingine akasema, Bwana, hili ndilo fungu lako, ambalo nililiweka salama katika kitambaa.


Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mnajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.


Basi yeye apandaye, na yeye atiaye maji ni wamoja, lakini kila mtu atapata thawabu yake mwenyewe kulingana na taabu yake mwenyewe.


Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.


Jiangalieni nafsi zenu msiyapoteze mliyoyatenda, bali mpokee thawabu timilifu.