Luka 19:18 - Swahili Revised Union Version18 Akaja wa pili, akasema, Bwana, fungu lako limeleta mafungu matano faida. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mtumishi wa pili akaja, akasema: ‘Bwana, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mtumishi wa pili akaja, akasema: ‘Bwana, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mtumishi wa pili akaja, akasema: ‘Bwana, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 “Wa pili naye akaja. Akasema, ‘Bwana, fedha yako imeleta faida mara tano zaidi.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 “Wa pili naye akaja. Akasema, ‘Bwana, fedha yako imeleta faida mara tano zaidi.’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Akaja wa pili, akasema, Bwana, fungu lako limeleta mafungu matano faida. Tazama sura |