Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:18 - Swahili Revised Union Version

18 Akaja wa pili, akasema, Bwana, fungu lako limeleta mafungu matano faida.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Mtumishi wa pili akaja, akasema: ‘Bwana, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mtumishi wa pili akaja, akasema: ‘Bwana, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mtumishi wa pili akaja, akasema: ‘Bwana, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 “Wa pili naye akaja. Akasema, ‘Bwana, fedha yako imeleta faida mara tano zaidi.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 “Wa pili naye akaja. Akasema, ‘Bwana, fedha yako imeleta faida mara tano zaidi.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Akaja wa pili, akasema, Bwana, fungu lako limeleta mafungu matano faida.

Tazama sura Nakili




Luka 19:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye aliyepandwa penye udongo mzuri, huyo ndiye alisikiaye lile neno, na kulielewa; yeye ndiye azaaye matunda, huyu mia, na huyu sitini, na huyu thelathini.


Akaja na yule aliyepokea talanta mbili, akasema, Bwana, uliweka kwangu talanta mbili; tazama, talanta nyingine mbili nilizopata faida.


Na hawa ndio waliopandwa penye udongo ulio mzuri; ni watu walisikiao lile neno na kulipokea, na kuzaa matunda, mmoja thelathini, mmoja sitini, na mmoja mia.


Akaita watu kumi katika watumwa wake, akawapa mafungu kumi ya fedha, akawaambia, Fanyeni biashara hadi nitakaporudi.


Akamwambia, Vema, mtumwa mwema; kwa vile ulivyokuwa mwaminifu katika neno lililo dogo, uwe na mamlaka juu ya miji kumi.


Akamwambia huyu naye, Wewe uwe juu ya miji mitano.


Maana, kama nia ipo, hukubaliwa kwa kadiri ya alivyo navyo mtu, si kwa kadiri ya asivyo navyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo