Luka 19:20 - Swahili Revised Union Version20 Akaja mwingine akasema, Bwana, hili ndilo fungu lako, ambalo nililiweka salama katika kitambaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 “Mtumishi mwingine akaja, akasema: ‘Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 “Mtumishi mwingine akaja, akasema: ‘Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 “Mtumishi mwingine akaja, akasema: ‘Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 “Kisha akaja yule mtumishi mwingine, akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako. Niliitunza vizuri kwenye kitambaa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 “Kisha akaja yule mtumishi mwingine, akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako. Niliitunza vizuri kwenye kitambaa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Akaja mwingine akasema, Bwana, hili ndilo fungu lako, ambalo nililiweka salama katika kitambaa. Tazama sura |