Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:20 - Swahili Revised Union Version

20 Akaja mwingine akasema, Bwana, hili ndilo fungu lako, ambalo nililiweka salama katika kitambaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 “Mtumishi mwingine akaja, akasema: ‘Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 “Mtumishi mwingine akaja, akasema: ‘Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 “Mtumishi mwingine akaja, akasema: ‘Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 “Kisha akaja yule mtumishi mwingine, akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako. Niliitunza vizuri kwenye kitambaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 “Kisha akaja yule mtumishi mwingine, akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako. Niliitunza vizuri kwenye kitambaa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Akaja mwingine akasema, Bwana, hili ndilo fungu lako, ambalo nililiweka salama katika kitambaa.

Tazama sura Nakili




Luka 19:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akaja na yule aliyepokea talanta moja, akasema, Bwana, nilitambua ya kuwa wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya;


Akaita watu kumi katika watumwa wake, akawapa mafungu kumi ya fedha, akawaambia, Fanyeni biashara hadi nitakaporudi.


Akamwambia huyu naye, Wewe uwe juu ya miji mitano.


Kwa maana nilikuogopa kwa kuwa u mtu mgumu; wachukua usichoweka, wavuna usichopanda.


Na sasa hivi shoka limekwisha kuwekwa kwenye mashina ya miti; basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.


Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, lakini hamyatendi nisemayo?


Akatoka nje yule aliyekufa, akiwa amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.


na ile leso iliyokuwako kichwani pake; haikulala pamoja na vitambaa, bali imezongwazongwa mbali mahali peke yake.


Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo