Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:37 - Swahili Revised Union Version

Wakamwambia, Yesu wa Nazareti anapita.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakamwambia, “Yesu wa Nazareti anapita.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakamwambia, “Yesu wa Nazareti anapita.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakamwambia, “Yesu wa Nazareti anapita.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamwambia, “Isa Al-Nasiri anapita.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamwambia, “Isa Al-Nasiri anapita.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwambia, Yesu wa Nazareti anapita.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:37
11 Marejeleo ya Msalaba  

akaenda, akakaa katika mji ulioitwa Nazareti; ili litimie neno lililonenwa na manabii, Ataitwa Mnazareti.


na alipowasikia makutano wakipita, aliuliza, Kuna nini?


Akapiga kelele, akisema, Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.


Akashuka pamoja nao mpaka Nazareti, naye alikuwa akiwatii; na mamaye aliyaweka hayo yote moyoni mwake.


Filipo akamwona Nathanaeli, akamwambia, Tumemwona yeye aliyeandikiwa na Musa katika torati, na manabii, Yesu, mwana wa Yusufu, mtu wa Nazareti.


Naye Pilato akaandika anwani, akaiweka juu ya msalaba, imeandikwa, YESU MNAZARETI, MFALME WA WAYAHUDI.


Enyi wanaume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua;


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha, na Mungu akamfufua katika wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama akiwa mzima mbele yenu.


(Kwa maana asema, Kwa wakati uliokubalika nilikusikia, Na katika siku ya wokovu nilikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.)