Yohana 19:19 - Swahili Revised Union Version19 Naye Pilato akaandika anwani, akaiweka juu ya msalaba, imeandikwa, YESU MNAZARETI, MFALME WA WAYAHUDI. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Pilato aliandika ilani akaiweka juu ya msalaba. Nayo ilikuwa imeandikwa hivi: “Yesu Mnazareti, Mfalme wa Wayahudi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Pilato aliandika ilani akaiweka juu ya msalaba. Nayo ilikuwa imeandikwa hivi: “Yesu Mnazareti, Mfalme wa Wayahudi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Pilato aliandika ilani akaiweka juu ya msalaba. Nayo ilikuwa imeandikwa hivi: “Yesu Mnazareti, Mfalme wa Wayahudi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Pilato akaamuru tangazo liandikwe na liwekwe juu kwenye msalaba wa Isa; likasema: Isa Al-Nasiri Mfalme wa Wayahudi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Pilato akaamuru tangazo liandikwe na liwekwe juu kwenye msalaba wa Isa, likasema: “isa al-nasiri, mfalme wa wayahudi.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Naye Pilato akaandika anwani, akaiweka juu ya msalaba, imeandikwa, YESU MNAZARETI, MFALME WA WAYAHUDI. Tazama sura |