Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 15:26 - Swahili Revised Union Version

Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: ‘Kuna nini?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: ‘Kuna nini?’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: ‘Kuna nini?’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akamwita mmoja wa watumishi na kumuuliza maana ya mambo yale.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akamwita mmoja wa watumishi na kumuuliza, ‘Kuna nini?’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 15:26
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, yule mwanawe mkubwa alikuwa shambani na alipokuwa akija na kuikaribia nyumba, alisikia sauti ya nyimbo na nderemo.


Akamwambia, Ndugu yako amekuja, na baba yako amemchinja ndama aliyenona, kwa sababu amempata tena, akiwa mzima.


na alipowasikia makutano wakipita, aliuliza, Kuna nini?


Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?