Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 15:25 - Swahili Revised Union Version

25 Basi, yule mwanawe mkubwa alikuwa shambani na alipokuwa akija na kuikaribia nyumba, alisikia sauti ya nyimbo na nderemo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 “Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani, akasikia vifijo na ngoma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 “Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani, akasikia vifijo na ngoma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 “Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani, akasikia vifijo na ngoma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 “Wakati huo, yule mwana mkubwa alikuwa shambani. Alipokaribia nyumbani, akasikia sauti ya nyimbo na watu wakicheza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 “Wakati huo, yule mwana mkubwa alikuwa shambani. Alipokaribia nyumbani, akasikia sauti ya nyimbo na watu wakicheza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Basi, yule mwanawe mkubwa alikuwa shambani na alipokuwa akija na kuikaribia nyumba, alisikia sauti ya nyimbo na nderemo.

Tazama sura Nakili




Luka 15:25
12 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akacheza mbele za BWANA kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani.


BWANA alipowarejesha mateka wa Sayuni, Tulikuwa kama waotao ndoto.


Na walisifu jina lake kwa kucheza, Kwa sauti tamu ya matari na kinubi.


Msifuni kwa matari na kucheza; Msifuni kwa zeze na filimbi;


Umegeuza msiba wangu kuwa ngoma; Umeniondolea huzuni yangu, kunijalia furaha tele.


Na Miriamu, nabii mwanamke, dada yake Haruni, akatwaa tari mkononi mwake; wanawake wakatoka wote wakaenda nyuma yake, wenye matari na kucheza.


Wakati wa kulia, na wakati wa kucheka; Wakati wa kuomboleza, na wakati wa kucheza;


Mara ya pili nitakujenga, nawe utajengwa, Ee bikira wa Israeli mara ya pili utapambwa kwa matari yako, nawe utatokea katika michezo yao wanaofurahi.


kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.


Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?


Wamefanana na watoto walioketi sokoni na kuitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo