Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 15:26 - Swahili Revised Union Version

26 Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: ‘Kuna nini?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: ‘Kuna nini?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: ‘Kuna nini?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Akamwita mmoja wa watumishi na kumuuliza maana ya mambo yale.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Akamwita mmoja wa watumishi na kumuuliza, ‘Kuna nini?’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Akaita mtumishi mmoja, akamwuliza, Mambo haya, maana yake nini?

Tazama sura Nakili




Luka 15:26
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, yule mwanawe mkubwa alikuwa shambani na alipokuwa akija na kuikaribia nyumba, alisikia sauti ya nyimbo na nderemo.


Akamwambia, Ndugu yako amekuja, na baba yako amemchinja ndama aliyenona, kwa sababu amempata tena, akiwa mzima.


na alipowasikia makutano wakipita, aliuliza, Kuna nini?


Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo