Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 14:16 - Swahili Revised Union Version

Akamwambia, Mtu mmoja alifanya karamu kubwa akaalika watu wengi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akawaalika watu wengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akawaalika watu wengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akawaalika watu wengi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anaandaa karamu kubwa, akaalika watu wengi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anaandaa karamu kubwa, akaalika watu wengi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwambia, Mtu mmoja alifanya karamu kubwa akaalika watu wengi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 14:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bibi arusi, Nachuma manemane yangu na rihani, Nala sega la asali na asali yangu, Nanywa divai yangu na maziwa. Kaleni, rafiki zangu, kanyweni, Naam, nyweni sana, wapendwa wangu.


Na watu wa Efraimu watakuwa kama shujaa, na moyo wao utafurahi kana kwamba ni kwa divai; naam, watoto wao wataona mambo haya, na kufurahi; mioyo yao itamfurahia BWANA.


Roho na Bibi arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.


Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.