Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:17 - Swahili Revised Union Version

17 akamtuma mtumwa wake saa ya chakula awaambie wale walioalikwa, Njooni, kwa kuwa vitu vyote vimekwisha kuwekwa tayari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Wakati wa karamu ulipofika alimtuma mtumishi wake akawaambie walioalikwa, ‘Njoni, kila kitu ni tayari.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Wakati wa karamu ulipofika alimtuma mtumishi wake akawaambie walioalikwa, ‘Njoni, kila kitu ni tayari.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Wakati wa karamu ulipofika alimtuma mtumishi wake akawaambie walioalikwa, ‘Njoni, kila kitu ni tayari.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Wakati wa karamu ulipofika, akamtuma mtumishi wake akawaambie wale walioalikwa, ‘Karibuni, kila kitu ki tayari sasa.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Wakati wa karamu ulipofika, akamtuma mtumishi wake akawaambie wale walioalikwa, ‘Karibuni, kila kitu ki tayari sasa.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 akamtuma mtumwa wake saa ya chakula awaambie wale walioalikwa, Njooni, kwa kuwa vitu vyote vimekwisha kuwekwa tayari.

Tazama sura Nakili




Luka 14:17
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Mtu mmoja alifanya karamu kubwa akaalika watu wengi,


Wakaanza wote kutoa udhuru kwa nia moja. Wa kwanza alimwambia, Nimenunua shamba, sharti niende nikalitazame; tafadhali unisamehe.


Katika siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe.


Ndugu zangu, wana wa ukoo wa Abrahamu, na hao miongoni mwenu wanaomcha Mungu, kwetu sisi neno la wokovu huu limepelekwa.


Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo