Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:16 - Swahili Revised Union Version

16 Akamwambia, Mtu mmoja alifanya karamu kubwa akaalika watu wengi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akawaalika watu wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akawaalika watu wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akawaalika watu wengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Isa akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anaandaa karamu kubwa, akaalika watu wengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Isa akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anaandaa karamu kubwa, akaalika watu wengi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Akamwambia, Mtu mmoja alifanya karamu kubwa akaalika watu wengi,

Tazama sura Nakili




Luka 14:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bibi arusi, Nachuma manemane yangu na rihani, Nala sega la asali na asali yangu, Nanywa divai yangu na maziwa. Kaleni, rafiki zangu, kanyweni, Naam, nyweni sana, wapendwa wangu.


Na watu wa Efraimu watakuwa kama shujaa, na moyo wao utafurahi kana kwamba ni kwa divai; naam, watoto wao wataona mambo haya, na kufurahi; mioyo yao itamfurahia BWANA.


Roho na Bibi arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.


Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo