Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 13:23 - Swahili Revised Union Version

Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mmoja akamuuliza, “Bwana Isa, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Isa akawaambia,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mmoja akamuuliza, “Bwana Isa, ni watu wachache tu watakaookolewa?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 13:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wanafunzi waliposikia, walishangaa mno, wakisema, Ni nani basi awezaye kuokoka?


Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.


Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.


Bali mlango ni mwembamba, na njia imebana iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.


Naye alikuwa akipita katika miji na vijiji, akifundisha, katika safari yake kwenda Yerusalemu.


Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze.