Mathayo 7:14 - Swahili Revised Union Version14 Bali mlango ni mwembamba, na njia imebana iendayo uzimani, nao waionao ni wachache. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini mlango ni mwembamba na njia ni finyu ielekeayo kwenye uzima, nao ni wachache tu waionao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini mlango ni mwembamba na njia ni finyu ielekeayo kwenye uzima, nao ni wachache tu waionao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache. Tazama sura |