Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:14 - Swahili Revised Union Version

14 Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Yesu akamaliza kwa kusema, “Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 “Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 “Kwa maana walioitwa ni wengi, lakini walioteuliwa ni wachache.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.


Na kama siku hizo zisingalifupishwa, asingeokoka mtu yeyote; lakini kwa ajili ya wateule siku hizo zitafupishwa.


Kwa maana watatokea Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, ikiwezekana, hata walio wateule.


Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.


Hawa watafanya vita na Mwana-kondoo, na Mwana-kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo