Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 13:18 - Swahili Revised Union Version

Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Isa akauliza, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaufananisha na nini?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Isa akauliza, “Ufalme wa Mwenyezi Mungu unafanana na nini? Nitaufananisha na nini?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 13:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nikushuhudie nini? Nikufananishe na nini, Ee Binti Yerusalemu? Nikulinganishe na nini, nipate kukufariji, Ee bikira binti Sayuni? Kwa maana uvunjifu wako ni mkuu kama bahari, Ni nani awezaye kukuponya?


Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika shamba lake;


Akasema, Ufalme wa Mungu, mfano wake ni kama mtu aliyemwaga mbegu juu ya nchi;


Akasema mara ya pili, Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?


wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.


Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?