Marko 4:26 - Swahili Revised Union Version26 Akasema, Ufalme wa Mungu, mfano wake ni kama mtu aliyemwaga mbegu juu ya nchi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Yesu akaendelea kusema, “Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Yesu akaendelea kusema, “Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Yesu akaendelea kusema, “Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Pia akawaambia, “Ufalme wa Mungu unafanana na mtu apandaye mbegu shambani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Pia akawaambia, “Ufalme wa Mwenyezi Mungu unafanana na mtu apandaye mbegu shambani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI26 Akasema, Ufalme wa Mungu, mfano wake ni kama mtu aliyemwaga mbegu juu ya nchi; Tazama sura |