Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 12:31 - Swahili Revised Union Version

Bali utafuteni ufalme wa Mungu, na hayo mtaongezewa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu, na hayo mtapewa kwa ziada.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu, na hayo mtapewa kwa ziada.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu, na hayo mtapewa kwa ziada.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bali utafuteni ufalme wa Mungu, na haya yote atawapa pia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bali utafuteni Ufalme wa Mwenyezi Mungu, na haya yote atawapa pia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali utafuteni ufalme wa Mungu, na hayo mtaongezewa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 12:31
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake, Maana, wamchao hawapungukiwi kitu.


Hawataaibika wakati wa ubaya, Na siku za njaa watashiba.


Nilikuwa kijana na sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzawa wake akiomba chakula.


Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.


Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni jua na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.


lakini kinatakiwa kitu kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema, ambalo hatanyang'anywa.


kwa maana, hayo yote ndiyo watafutayo mataifa ya duniani, lakini Baba yenu anajua ya kuwa mna haja na hayo.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.


Basi, tuseme nini juu ya hayo? Mungu akiwapo upande wetu, ni nani awezaye kutupinga?


Maana, mazoezi ya viungo vya mwili yana manufaa kidogo, lakini utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye.


Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kamwe, wala sitakuacha.