Luka 12:32 - Swahili Revised Union Version32 Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 “Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 “Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 “Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vyema kuwapa ninyi ufalme. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vyema kuwapa ninyi Ufalme. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme. Tazama sura |