Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 11:10 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 11:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nilisema kwa pupa yangu, Nimekatiliwa mbali na macho yako; Lakini ulisikia sauti ya kilio changu Wakati nilipokulilia.


Nikasema, Nguvu zangu zimepotea, Na tumaini langu kwa BWANA.


Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.


Akuombaye, mpe; naye atakaye kukopa kwako, usimpe kisogo.


kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.


Maana ni yupi kwenu aliye baba, ambaye mwanawe akimwomba mkate, atampa jiwe au akimwomba samaki, badala ya samaki atampa nyoka?


Nami nawaambia, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.


Angalieni, twawaita heri wao waliostahimili. Mmesikia habari za kustahimili kwake Ayubu, kuona mwisho Bwana aliyomtendea, jinsi Bwana alivyo mwingi wa rehema na mwenye huruma.