Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:1 - Swahili Revised Union Version

1 Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Basi, Yesu aliwasimulia mfano kuonesha kwamba ni lazima kusali daima bila kukata tamaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Basi, Yesu aliwasimulia mfano kuonesha kwamba ni lazima kusali daima bila kukata tamaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Basi, Yesu aliwasimulia mfano kuonesha kwamba ni lazima kusali daima bila kukata tamaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Kisha Isa akawapa wanafunzi wake mfano ili kuwaonesha kuwa yawapasa kuomba pasipo kukata tamaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Kisha Isa akawapa wanafunzi wake mfano ili kuwaonyesha kuwa yawapasa kuomba pasipo kukata tamaa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu siku zote, wala wasikate tamaa.

Tazama sura Nakili




Luka 18:1
26 Marejeleo ya Msalaba  

Atakapoyaelekea maombi yake aliye mkiwa, Asiyadharau maombi yao.


Naamini ya kuwa nitauona wema wa BWANA Katika nchi ya walio hai.


Wewe usikiaye maombi, Wote wenye mwili watakujia.


Wewe, Bwana, unifadhili, Maana nakulilia Wewe mchana kutwa.


bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.


wala msimwache akae kimya, mpaka atakapouimarisha Yerusalemu, na kuufanya usifike kote duniani.


Nanyi mtaniita, mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza.


Roho yangu ilipozimia ndani yangu, Nilimkumbuka BWANA; Maombi yangu yakakufikia, Katika hekalu lako takatifu.


Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.


Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.


kwa tumaini, mkifurahi; katika dhiki, mkisubiri; mkidumu katika kusali;


Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;


Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho.


kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.


Epafra, aliye mtu wa kwenu, mtumwa wa Yesu Kristo, awasalimu, akifanya bidii siku zote kwa ajili yenu katika maombi yake, ili msimame mkiwa wakamilifu na kuthibitika kabisa katika mapenzi yote ya Mungu.


Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani;


Ikawa, hapo alipoendelea kuomba mbele za BWANA, Eli akamwangalia kinywa chake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo