Luka 17:37 - Swahili Revised Union Version37 Wakajibu, wakamwuliza, Wapi, Bwana? Akawaambia, Ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Hapo wakamwuliza, “Ni wapi Bwana?” Naye akawaambia, “Palipo mzoga, ndipo tai watakapokusanyikia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Hapo wakamwuliza, “Ni wapi Bwana?” Naye akawaambia, “Palipo mzoga, ndipo tai watakapokusanyikia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Hapo wakamwuliza, “Ni wapi Bwana?” Naye akawaambia, “Palipo mzoga, ndipo tai watakapokusanyikia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Kisha wakamuuliza, “Haya yatatukia wapi Bwana Isa?” Akawaambia, “Pale ulipo mzoga, huko ndiko tai watakapokusanyika.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Kisha wakamuuliza, “Haya yatatukia wapi, Bwana Isa?” Akawaambia, “Pale ulipo mzoga, huko ndiko tai watakapokusanyika.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI37 Wakajibu, wakamwuliza, Wapi, Bwana? Akawaambia, Ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai. Tazama sura |