Luka 18:2 - Swahili Revised Union Version2 Akasema, Palikuwa na hakimu katika mji fulani, hamchi Mungu, wala hajali watu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Alisema: “Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Alisema: “Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Alisema: “Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Akawaambia, “Katika mji mmoja palikuwa hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala kumjali mtu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwepo hakimu ambaye hakumwogopa Mwenyezi Mungu wala kumjali mtu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Akasema, Palikuwa na hakimu katika mji fulani, hamchi Mungu, wala hajali watu. Tazama sura |