Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 10:32 - Swahili Revised Union Version

Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapita kando.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapita kando.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 10:32
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nimekuwa wa kudharauliwa na watu, Wanionapo hutikisa vichwa vyao.


Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako, Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako. Afadhali jirani aliye karibu kuliko ndugu aliye mbali.


Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usikose kumsaidia mtu aliye jamaa yako.


Kwa nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia ile; na alipomwona alipita kando.


Lakini, Msamaria mmoja katika kusafiri kwake alifika hapo alipokuwa; na alipomwona alimhurumia,


Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tuko hapa.


Nao wote wakamshika Sosthene, mkuu wa sinagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Wala Galio hakuyaona mambo hayo kuwa ni kitu.


Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,