Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 10:33 - Swahili Revised Union Version

33 Lakini, Msamaria mmoja katika kusafiri kwake alifika hapo alipokuwa; na alipomwona alimhurumia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri alipomwona, alimhurumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri alipomwona, alimhurumia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Lakini, Msamaria mmoja katika kusafiri kwake alifika hapo alipokuwa; na alipomwona alimhurumia,

Tazama sura Nakili




Luka 10:33
14 Marejeleo ya Msalaba  

ukawasamehe watu wako waliokutenda dhambi, na makosa yao yote waliyokukosa; ukawape kuonewa huruma mbele yao waliowachukua mateka, ili wapate kuwahurumia.


Akakifungua, akamwona mtoto, na tazama, mtoto yule analia. Basi akamhurumia, akasema, Huyu ni mmojawapo wa watoto wa Waebrania.


Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako, Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako. Afadhali jirani aliye karibu kuliko ndugu aliye mbali.


Hao Kumi na Wawili Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie.


nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mtumwa mwenzako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?


Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapita kando.


akakaribia, akamfunga majeraha yake, akayatia mafuta na divai; akampandisha juu ya mnyama wake, akampeleka mpaka nyumba ya wageni, akamtunza.


Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.


Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia, Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwangu, nami ni mwanamke Msamaria? (Maana Wayahudi hawatangamani na Wasamaria.)


Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Je! Sisi hatusemi vema ya kwamba wewe u Msamaria, nawe una pepo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo