Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 10:32 - Swahili Revised Union Version

32 Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali hapo akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapita kando.

Tazama sura Nakili




Luka 10:32
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nimekuwa wa kudharauliwa na watu, Wanionapo hutikisa vichwa vyao.


Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako, Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako. Afadhali jirani aliye karibu kuliko ndugu aliye mbali.


Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usikose kumsaidia mtu aliye jamaa yako.


Kwa nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia ile; na alipomwona alipita kando.


Lakini, Msamaria mmoja katika kusafiri kwake alifika hapo alipokuwa; na alipomwona alimhurumia,


Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tuko hapa.


Nao wote wakamshika Sosthene, mkuu wa sinagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Wala Galio hakuyaona mambo hayo kuwa ni kitu.


Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo