Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 10:3 - Swahili Revised Union Version

Nendeni, angalieni, nawatuma kama wana-kondoo kati ya mbwamwitu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma nyinyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwamwitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma nyinyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwamwitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma nyinyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwamwitu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nendeni! Tazama ninawatuma kama wana-kondoo katikati ya mbwa-mwitu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haya! nendeni. Ninawatuma kama wana-kondoo katikati ya mbwa mwitu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nendeni, angalieni, nawatuma kama wana-kondoo kati ya mbwamwitu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 10:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kinywani mwa simba uniokoe; Naam, toka pembe za nyati umenijibu.


Wakuu wake walio ndani yake ni simba wangurumao; mahakimu wake ni mbwamwitu wa jioni; wasiobakiza kitu chochote mpaka asubuhi.


Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.


Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wakiwa wamevaa mavazi ya kondoo, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali.


Msichukue mfuko, wala mkoba, wala viatu; wala msimwamkie mtu njiani.


Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwamwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya.


Likumbukeni lile neno nililowaambia, Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake. Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi; ikiwa walilishika neno langu watalishika na lenu.


Watawatenga na masinagogi; naam, saa inakuja kila mtu awauaye atakapodhania ya kuwa anamfanyia Mungu ibada.


Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kwangu mbwamwitu wakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi;


Maana nitamwonesha yalivyo mengi yatakayompasa kuteswa kwa ajili ya Jina langu.


akataka ampe barua za kuenda Dameski zilizoandikwa kwa masinagogi, ili akiona watu wa Njia hii, wanaume kwa wanawake, awafunge na kuwaleta Yerusalemu.