Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:57 - Swahili Revised Union Version

Ikawa, siku za kuzaa kwake Elisabeti zilipotimia, alizaa mtoto mwanamume.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati wa kujifungua kwake Elisabeti ulifika, akajifungua mtoto wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati wa kujifungua kwake Elisabeti ulifika, akajifungua mtoto wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati wa kujifungua kwake Elisabeti ulifika, akajifungua mtoto wa kiume.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulipowadia wakati wa Elizabeti kujifungua, alizaa mtoto wa kiume.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulipowadia wakati wa Elizabeti kujifungua, alizaa mtoto mwanaume.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa, siku za kuzaa kwake Elisabeti zilipotimia, alizaa mtoto mwanamume.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:57
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana.


Zamani za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani mmoja, jina lake Zakaria, wa kikundi cha ukuhani cha Abiya, na mkewe alikuwa mmojawapo wa uzao wa Haruni, jina lake Elisabeti.


Mariamu akakaa naye kadiri ya miezi mitatu, kisha akarudi kwenda nyumbani kwake.


Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake, wakafurahi pamoja naye.