Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:12 - Swahili Revised Union Version

Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zakaria alipomwona huyo malaika, akafadhaika sana, akajawa na hofu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Zekaria alipomwona huyo malaika, akafadhaika sana, akajawa na hofu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nami, Danieli, nikaona maono haya peke yangu; maana wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona maono haya; lakini tetemeko kuu liliwashika, hata wakakimbia ili kujificha.


Wakaingia kaburini wakaona kijana akiwa ameketi upande wa kulia, amevaa vazi jeupe; wakastaajabu.


Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?


Akamkodolea macho, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Manoa akamwambia mkewe, Hakika yetu tutakufa sisi, kwa sababu tumemuona Mungu.


Gideoni akaona ya kuwa ni malaika wa BWANA; Gideoni akasema, Ole wangu, Ee Bwana MUNGU! Kwa kuwa nimemwona BWANA uso kwa uso.