Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:12 - Swahili Revised Union Version

12 Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Zakaria alipomwona huyo malaika, akafadhaika sana, akajawa na hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Zekaria alipomwona huyo malaika, akafadhaika sana, akajawa na hofu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.

Tazama sura Nakili




Luka 1:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nami, Danieli, nikaona maono haya peke yangu; maana wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona maono haya; lakini tetemeko kuu liliwashika, hata wakakimbia ili kujificha.


Wakaingia kaburini wakaona kijana akiwa ameketi upande wa kulia, amevaa vazi jeupe; wakastaajabu.


Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?


Akamkodolea macho, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Manoa akamwambia mkewe, Hakika yetu tutakufa sisi, kwa sababu tumemuona Mungu.


Gideoni akaona ya kuwa ni malaika wa BWANA; Gideoni akasema, Ole wangu, Ee Bwana MUNGU! Kwa kuwa nimemwona BWANA uso kwa uso.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo