Luka 1:29 - Swahili Revised Union Version29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: maneno hayo yanamaanisha nini? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Mariamu akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni salamu hii ni ya namna gani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Mariamu akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? Tazama sura |