Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:29 - Swahili Revised Union Version

29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: maneno hayo yanamaanisha nini?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Mariamu akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni salamu hii ni ya namna gani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Mariamu akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?

Tazama sura Nakili




Luka 1:29
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.


Zakaria alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia.


Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.


Na wote walioyasikia wakayaweka mioyoni mwao, wakisema, Mtoto huyu atakuwa wa namna gani? Kwa sababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.


Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake.


Akashuka pamoja nao mpaka Nazareti, naye alikuwa akiwatii; na mamaye aliyaweka hayo yote moyoni mwake.


Wakati Petro alipokuwa akisumbuka ndani ya nafsi yake, juu ya maana ya maono hayo aliyoyaona, wale watu waliotumwa na Kornelio, wakatokeza. Walikuwa kukiulizia nyumba ya Simoni, wakiwa wamesimama mbele ya lango,


Akamkodolea macho, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo