Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 1:5 - Swahili Revised Union Version

Na wale watu wote waliotokana na uzao wa Yakobo walikuwa watu sabini; na huyo Yusufu alikuwa huko ndani ya Misri tangu hapo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wazawa wote wa Yakobo walikuwa watu 70. Wakati huo Yosefu alikuwa amekwisha tangulia kukaa huko Misri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wazawa wote wa Yakobo walikuwa watu 70. Wakati huo Yosefu alikuwa amekwisha tangulia kukaa huko Misri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wazawa wote wa Yakobo walikuwa watu 70. Wakati huo Yosefu alikuwa amekwisha tangulia kukaa huko Misri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu sabini; Yusufu alikuwa tayari yuko Misri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu sabini; Yusufu alikuwa tayari yuko Misri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wale watu wote waliotokana na uzao wa Yakobo walikuwa watu sabini; na huyo Yusufu alikuwa huko ndani ya Misri tangu hapo mwanzo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 1:5
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu Akakaa katika Misri, yeye na nyumba ya baba yake. Yusufu Akaishi miaka mia moja na kumi.


Basi Mungu akawatendea mema wale wakunga; na hao watu wakaongezeka sana, wakaendelea na kuzidi kuwa na nguvu nyingi.


na Dani, na Naftali, na Gadi, na Asheri.


Yusufu akatuma watu akamwita Yakobo babaye na jamaa zake wote pia, watu sabini na watano.


Baba zako walienda Misri wakiwa watu sabini; na sasa BWANA, Mungu wako, amekufanya kama nyota za mbinguni kwa wingi.


Gideoni alikuwa na wana sabini waliozawa na mwili wake; kwa maana alikuwa na wake wengi.