Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 50:22 - Swahili Revised Union Version

22 Yusufu Akakaa katika Misri, yeye na nyumba ya baba yake. Yusufu Akaishi miaka mia moja na kumi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Yosefu akaendelea kukaa katika nchi ya Misri pamoja na jamaa yote ya baba yake. Aliishi kwa muda wa miaka 110.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Yosefu akaendelea kukaa katika nchi ya Misri pamoja na jamaa yote ya baba yake. Aliishi kwa muda wa miaka 110.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Yosefu akaendelea kukaa katika nchi ya Misri pamoja na jamaa yote ya baba yake. Aliishi kwa muda wa miaka 110.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Yusufu akakaa katika nchi ya Misri, yeye pamoja na jamaa yote ya baba yake. Akaishi miaka mia moja na kumi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Yusufu akakaa katika nchi ya Misri, yeye pamoja na jamaa yote ya baba yake. Akaishi miaka 110,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Yusufu Akakaa katika Misri, yeye na nyumba ya baba yake. Yusufu Akaishi miaka mia moja na kumi.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 50:22
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa msiogope; mimi nitawalisha na watoto wenu. Akawafariji, na kusema nao vema.


Yusufu akaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu; na wana wa Makiri, mwana wa Manase, walizaliwa magotini mwa Yusufu.


Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia moja na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri.


Na wale watu wote waliotokana na uzao wa Yakobo walikuwa watu sabini; na huyo Yusufu alikuwa huko ndani ya Misri tangu hapo.


Ikawa, baada ya hayo, Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa BWANA, akafa, mwenye umri wa miaka mia moja na kumi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo