Mwanzo 50:21 - Swahili Revised Union Version21 Basi sasa msiogope; mimi nitawalisha na watoto wenu. Akawafariji, na kusema nao vema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Haya, msiogope. Mimi nitawapeni chakula pamoja na watoto wenu.” Basi akawafariji na kusema nao vizuri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Haya, msiogope. Mimi nitawapeni chakula pamoja na watoto wenu.” Basi akawafariji na kusema nao vizuri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Haya, msiogope. Mimi nitawapeni chakula pamoja na watoto wenu.” Basi akawafariji na kusema nao vizuri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Hivyo basi, msiogope. Mimi nitawatunza ninyi nyote pamoja na watoto wenu.” Akawafariji na kusema nao kwa wema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Hivyo basi, msiogope. Mimi nitawatunza ninyi nyote pamoja na watoto wenu.” Akawahakikishia na kusema nao kwa wema. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Basi sasa msiogope; mimi nitawalisha na watoto wenu. Akawafariji, na kusema nao vema. Tazama sura |