Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 7:15 - Swahili Revised Union Version

Siagi na asali atakula, wakati ajuapo kuyakataa mabaya na kuyachagua mema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Atakula siagi na asali mpaka atakapojua kukataa mabaya na kuchagua mema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Atakula siagi na asali mpaka atakapojua kukataa mabaya na kuchagua mema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Atakula siagi na asali mpaka atakapojua kukataa mabaya na kuchagua mema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Atakula jibini na asali atakapokuwa ameweza kukataa mabaya na kuchagua mema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Atakula jibini na asali atakapokuwa ameweza kukataa mabaya na kuchagua mema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siagi na asali atakula, wakati ajuapo kuyakataa mabaya na kuyachagua mema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 7:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akatwaa siagi na maziwa, na ndama aliyoiandaa, akawaandalia mbele yao, akasimama karibu nao chini ya mti, nao wakala.


Tazama, nikazaliwa nikiwa na hatia; Mama yangu akanichukua mimba nikiwa na dhambi.


kisha itakuwa, kwa sababu wanyama hao watatoa maziwa mengi, atakula siagi; kwa maana kila mtu aliyesalia katika nchi hii atakula siagi na asali.


Yachukieni mabaya; yapendeni mema; mkaithibitishe haki langoni; yamkini kwamba BWANA, Mungu wa majeshi, atawafanyia fadhili mabaki ya Yusufu.


Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.


Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu zake Aliye Juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.


Yule mtoto akakua, akaongezeka nguvu, amejaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.


Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.


Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkilishika lililo jema.


Tena, wadogo wenu, mliosema watakuwa mateka, na wana wenu, wasiokuwa leo na maarifa ya mabaya wala mema, ndio watakaoingia, nao ndio nitakaowapa, nao wataimiliki.