Amosi 5:15 - Swahili Revised Union Version15 Yachukieni mabaya; yapendeni mema; mkaithibitishe haki langoni; yamkini kwamba BWANA, Mungu wa majeshi, atawafanyia fadhili mabaki ya Yusufu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Chukieni uovu, pendeni wema, na kudumisha haki mahakamani. Yamkini Mwenyezi-Mungu wa majeshi atawafadhili watu wa Yosefu waliobaki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Chukieni uovu, pendeni wema, na kudumisha haki mahakamani. Yamkini Mwenyezi-Mungu wa majeshi atawafadhili watu wa Yosefu waliobaki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Chukieni uovu, pendeni wema, na kudumisha haki mahakamani. Yamkini Mwenyezi-Mungu wa majeshi atawafadhili watu wa Yosefu waliobaki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Yachukieni maovu, yapendeni mema; dumisheni haki mahakamani. Yamkini Bwana Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, atawahurumia mabaki ya Yusufu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Yachukieni maovu, yapendeni mema; dumisheni haki mahakamani. Yamkini bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote atawahurumia mabaki ya Yusufu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Yachukieni mabaya; yapendeni mema; mkaithibitishe haki langoni; yamkini kwamba BWANA, Mungu wa majeshi, atawafanyia fadhili mabaki ya Yusufu. Tazama sura |