Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 43:8 - Swahili Revised Union Version

Walete watu wasioona, japo wana macho, wasiosikia japo wana masikio.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waleteni mbele watu hao, ambao wana macho lakini hawaoni wana masikio lakini hawasikii!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waleteni mbele watu hao, ambao wana macho lakini hawaoni wana masikio lakini hawasikii!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waleteni mbele watu hao, ambao wana macho lakini hawaoni wana masikio lakini hawasikii!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uwaongoze wale wenye macho lakini hawaoni, wenye masikio lakini hawasikii.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uwaongoze wale wenye macho lakini hawaoni, wenye masikio lakini hawasikii.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walete watu wasioona, japo wana macho, wasiosikia japo wana masikio.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 43:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika siku hiyo viziwi watasikia maneno ya hicho kitabu, na macho ya vipofu yataona katika upofu na katika giza.


Naye akaniambia, Nenda, ukawaambie watu hawa, Endeleeni kusikia, lakini msifahamu; endeleeni kutazama, lakini msione.


Sikilizeni neno hili, enyi watu wajinga msio na ufahamu; mlio na macho ila hamuoni; mlio na masikio ila hamsikii.


Mwanadamu, wewe unakaa kati ya nyumba iliyoasi, watu ambao wana macho ya kuona, ila hawaoni, wana masikio ya kusikia, ila hawasikii; kwa maana ni nyumba iliyoasi.


ili wakitazama watazame, wasione; Na wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije wakaongoka, na kusamehewa.