Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 32:5 - Swahili Revised Union Version

Mpumbavu hataitwa tena muungwana, wala mlaghai hataitwa kuwa ni mheshimiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wapumbavu hawataitwa tena waungwana, wala walaghai hawataitwa tena waheshimiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wapumbavu hawataitwa tena waungwana, wala walaghai hawataitwa tena waheshimiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wapumbavu hawataitwa tena waungwana, wala walaghai hawataitwa tena waheshimiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mpumbavu hataitwa tena muungwana, wala mtu mbaya kabisa kupewa heshima ya juu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpumbavu hataitwa tena muungwana, wala mtu mbaya kabisa kupewa heshima ya juu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mpumbavu hataitwa tena muungwana, wala mlaghai hataitwa kuwa ni mheshimiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 32:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wasio haki hutembea pande zote, Huku ufisadi ukitukuka kati ya wanadamu.


Anayedharau waovu Machoni pake, Bali huwaheshimu wamchao BWANA Aliyeapa ingawa kwa hasara yake, Hayabadili maneno yake.


Tena vyombo vyake mlaghai ni vibaya; hutunga hila mbaya, ili kuwaangamiza wanyonge kwa maneno ya uongo, mtu mhitaji ajaposema maneno yenye haki.


Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!


Ndipo mtakaporudi, nanyi mtapambanua kati ya wenye haki na waovu, kati ya yeye amtumikiaye Mungu na yeye asiyemtumikia.


Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.