Isaya 32:4 - Swahili Revised Union Version4 Tena moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu maarifa, na ndimi zao wenye kigugumizi zitakuwa tayari kunena sawasawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Wafanyao mambo kwa hamaki wataamua kwa busara, wenye kigugumizi wataongea sawasawa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Wafanyao mambo kwa hamaki wataamua kwa busara, wenye kigugumizi wataongea sawasawa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Wafanyao mambo kwa hamaki wataamua kwa busara, wenye kigugumizi wataongea sawasawa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu na kuelewa, nao ulimi wenye kigugumizi utanena kwa ufasaha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu na kuelewa, nao ulimi wenye kigugumizi utanena kwa ufasaha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Tena moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu maarifa, na ndimi zao wenye kigugumizi zitakuwa tayari kunena sawasawa. Tazama sura |