Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 3:2 - Swahili Revised Union Version

mtu hodari na mtu wa vita; mwamuzi na nabii; mpiga ramli na mzee;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ataondoa mashujaa na askari, waamuzi na manabii, waaguzi na wazee,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ataondoa mashujaa na askari, waamuzi na manabii, waaguzi na wazee,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ataondoa mashujaa na askari, waamuzi na manabii, waaguzi na wazee,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

shujaa na mtu wa vita, mwamuzi na nabii, mwaguzi na mzee,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

shujaa na mtu wa vita, mwamuzi na nabii, mwaguzi na mzee,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mtu hodari na mtu wa vita; mwamuzi na nabii; mpiga ramli na mzee;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 3:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Hivyo Israeli wote walihesabiwa kwa nasaba; na tazama, hizo zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli; na Yuda wakachukuliwa mateka mpaka Babeli, kwa sababu ya makosa yao.


Hatuzioni ishara zetu, wala sasa hakuna nabii, Wala kwetu hakuna ajuaye, hadi lini?


jemadari aliye juu ya watu hamsini, na mtu mstahifu, na mshauri, na fundi aliye stadi, na mganga ajuaye uganga sana.


Waambie sasa nyumba hii iliyoasi, Hamjui maana ya mambo haya? Waambie, Tazama, mfalme wa Babeli alifika Yerusalemu, akamtwaa mfalme wake, na wakuu wake, akawachukua pamoja naye mpaka Babeli;


akawatwaa baadhi ya wazao wa kifalme; kisha akafanya agano naye, akamwapisha; akawaondoa watu wa nchi wenye nguvu;


Kisha akaniambia, Mwanadamu, umeyaona wanayotenda wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mtu ndani ya vyumba vyake vya sanamu? Maana husema, BWANA hatuoni; BWANA ameiacha nchi hii.


Na hao wengine aliwaambia, nami nilisikia, Piteni kati ya mji nyuma yake, mkapige; jicho lenu lisiachilie, wala msione huruma;


nami nitamkatilia mbali mwamuzi atoke kati yake, nami nitawaua wakuu wake pamoja naye, asema BWANA.