Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 25:3 - Swahili Revised Union Version

Kwa hiyo watu walio hodari watakutukuza, Miji ya mataifa yatishayo itakuogopa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo watu wenye nguvu watakutukuza, miji ya mataifa katili itakuogopa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo watu wenye nguvu watakutukuza, miji ya mataifa katili itakuogopa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo watu wenye nguvu watakutukuza, miji ya mataifa katili itakuogopa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu, miji ya mataifa katili itakuogopa wewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu, miji ya mataifa katili itakuheshimu wewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hiyo watu walio hodari watakutukuza, Miji ya mataifa yatishayo itakuogopa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 25:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.


Nami nitaadhibu ulimwengu kwa sababu ya ubaya wake, na wenye dhambi kwa sababu ya hatia yao; nami nitaikomesha fahari yao wenye kiburi; nami nitayashusha chini majivuno yao walio wakali;


Basi, mtukuzeni BWANA katika mashariki, litukuzeni jina la BWANA, Mungu wa Israeli, katika visiwa vya bahari.


Lakini wingi wa adui zako utakuwa kama mavumbi laini, na wingi wao watishao utakuwa kama makapi yapitayo; naam, itakuwa mara na kwa ghafla.


Nami nitajitukuza, na kujitakasa, na kujidhihirisha, mbele ya macho ya mataifa mengi; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


Watayaramba mavumbi kama nyoka, kama vitu vitambaavyo juu ya nchi watatoka katika mahali walimojificha, wakitetemeka; watakuja kwa BWANA, Mungu wetu, kwa hofu, nao wataogopa kwa sababu yako.


Hata itakuwa, ya kwamba kila mtu aliyesalia wa mataifa yote, waliokuja kupigana na Yerusalemu, atakwea mwaka baada ya mwaka ili kumwabudu Mfalme, BWANA wa majeshi, na kuiadhimisha sikukuu ya Vibanda.


Naye BWANA atakuwa Mfalme wa nchi yote; siku hiyo BWANA atakuwa mmoja, na jina lake moja.


Na katika saa ile palikuwa na tetemeko kuu la nchi, na sehemu ya kumi ya mji ikaanguka; wanadamu elfu saba wakauawa katika tetemeko lile. Na waliobakia wakaingiwa na hofu, wakamtukuza Mungu wa mbingu.