Zekaria 14:9 - Swahili Revised Union Version9 Naye BWANA atakuwa Mfalme wa nchi yote; siku hiyo BWANA atakuwa mmoja, na jina lake moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Wakati huo, Mwenyezi-Mungu atakuwa ndiye mfalme pekee wa dunia yote; naye atakuwa ndiye Mwenyezi-Mungu pekee, mmoja tu, na jina lake litakuwa ndilo jina pekee. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Wakati huo, Mwenyezi-Mungu atakuwa ndiye mfalme pekee wa dunia yote; naye atakuwa ndiye Mwenyezi-Mungu pekee, mmoja tu, na jina lake litakuwa ndilo jina pekee. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Wakati huo, Mwenyezi-Mungu atakuwa ndiye mfalme pekee wa dunia yote; naye atakuwa ndiye Mwenyezi-Mungu pekee, mmoja tu, na jina lake litakuwa ndilo jina pekee. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mwenyezi Mungu atakuwa mfalme juu ya dunia yote. Katika siku hiyo atakuwa Mwenyezi Mungu mmoja, na jina lake litakuwa jina pekee. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 bwana atakuwa mfalme juu ya dunia yote. Katika siku hiyo atakuwepo bwana mmoja na jina lake litakuwa jina pekee. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Naye BWANA atakuwa Mfalme wa nchi yote; siku hiyo BWANA atakuwa mmoja, na jina lake moja. Tazama sura |