Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 10:19 - Swahili Revised Union Version

Na miti ya msitu wake itakayosalia itakuwa michache, hata mtoto ataweza kuihesabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Miti itakayobaki msituni mwake itakuwa michache sana hata mtoto mdogo ataweza kuihesabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Miti itakayobaki msituni mwake itakuwa michache sana hata mtoto mdogo ataweza kuihesabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Miti itakayobaki msituni mwake itakuwa michache sana hata mtoto mdogo ataweza kuihesabu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nayo miti inayobaki katika misitu yake itakuwa michache sana hata mtoto mdogo angeweza kuihesabu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nayo miti inayobaki katika misitu yake itakuwa michache sana hata mtoto mdogo angeweza kuihesabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na miti ya msitu wake itakayosalia itakuwa michache, hata mtoto ataweza kuihesabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 10:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

nitafanya wanadamu kuadimika kuliko dhahabu safi, na watu kuliko dhahabu ya Ofiri.


Na mabaki ya hesabu ya wavuta pinde, hao mashujaa wa Kedari watakuwa wachache; maana BWANA, Mungu wa Israeli, amenena neno hili.


Lakini mvua ya mawe itanyesha, wakati wa kuangushwa miti ya msituni; na huo mji utadhilika.


Basi malaika wa BWANA alitoka, akaua watu elfu mia moja na themanini na tano katika kituo cha Waashuri, na watu walipoamka asubuhi na mapema, kumbe, hao walikuwa maiti wote pia.


Nao watakaoukimbia upanga, watatoka katika nchi ya Misri, na kuiingia katika nchi ya Yuda, watu wachache sana; na wote wa Yuda waliosalia, waliokwenda katika nchi ya Misri ili kukaa huko, watajua ni neno la nani litakalosimama, neno langu, au neno lao.