Isaya 21:17 - Swahili Revised Union Version17 Na mabaki ya hesabu ya wavuta pinde, hao mashujaa wa Kedari watakuwa wachache; maana BWANA, Mungu wa Israeli, amenena neno hili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Wapiga upinde wachache kati ya mashujaa wa watu wa Kedari ndio watakaosalia. Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nimenena.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Wapiga upinde wachache kati ya mashujaa wa watu wa Kedari ndio watakaosalia. Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nimenena.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Wapiga upinde wachache kati ya mashujaa wa watu wa Kedari ndio watakaosalia. Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nimenena.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Wanaume wavutao pinde walionusurika, mashujaa wa Kedari, watakuwa wachache.” Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, amesema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Wanaume wavutao pinde walionusurika, mashujaa wa Kedari, watakuwa wachache.” bwana, Mungu wa Israeli, amesema. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Na mabaki ya hesabu ya wavuta pinde, hao mashujaa wa Kedari watakuwa wachache; maana BWANA, Mungu wa Israeli, amenena neno hili. Tazama sura |