Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 8:3 - Swahili Revised Union Version

Israeli ameyatupa yaliyo mema; adui watamfuatia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Israeli amepuuza mambo mema, kwa hiyo, sasa adui watamfuatia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Israeli amepuuza mambo mema, kwa hiyo, sasa adui watamfuatia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Israeli amepuuza mambo mema, kwa hiyo, sasa adui watamfuatia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Israeli amekataa lile lililo jema, adui atamfuatia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Israeli amekataa lile lililo jema, adui atamfuatia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Israeli ameyatupa yaliyo mema; adui watamfuatia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 8:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya kinywa chake ni uovu na hila, Ameacha kuwa na akili na kutenda mema.


Utawafuatia kwa hasira, na kuwaangamiza Wasiwe tena chini ya mbingu za BWANA.


Waliotufuatia ni wepesi Kuliko tai za mbinguni; Hao walitufuatia milimani, Nao walituotea jangwani.


Watanililia, Mungu wangu, sisi Israeli tunakujua.


Wamesimamisha wafalme, lakini si kwa shauri langu; wamejifanyia wakuu, lakini nilikuwa sina habari; kwa fedha yao na dhahabu yao wamejifanyia sanamu, kusudi wakatiliwe mbali.


Tena hao wa kwenu watakaobaki, nitawatia woga mioyoni mwao, katika hizo nchi za adui zao; na sauti ya jani lililopeperushwa itawakimbiza; nao watakimbia, kama mtu akimbiavyo upanga; nao wataanguka hapo ambapo hapana afukuzaye.


Haya ndiyo asemayo BWANA; Kwa makosa matatu ya Edomu, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga, akatupilia mbali huruma zake zote; hasira yake ikararuararua daima, akaishika ghadhabu yake milele;


BWANA atakufanya upigwe mbele ya adui zako; utawatokea juu yao kwa njia moja, lakini utakimbia mbele yao kwa njia saba; nawe utatupwa huku na huko katika falme zote za duniani.


nao wana hukumu kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.