Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 5:12 - Swahili Revised Union Version

12 nao wana hukumu kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 nao wana hukumu kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 5:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Israeli ameyatupa yaliyo mema; adui watamfuatia.


mtu akiwa na njaa, na ale nyumbani kwake; msipate kukutanika kwa hukumu. Na hayo yaliyosalia nikija nitayatengeneza.


Nashangaa kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia Injili ya namna nyingine.


Bali wajane walio vijana ukatae kuwaandika hao, maana, wakizidiwa na tamaa kinyume cha Kristo, wataka kuolewa;


Tena, pamoja na hayo, hujifunza kuwa wavivu, wakizungukazunguka nyumba kwa nyumba; wala si wavivu tu, lakini ni wachongezi na wadadisi, wakinena maneno yasiyowapasa.


Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.


Kwa maana wakati umefika wa hukumu kuanza katika nyumba ya Mungu; na ikianza kwetu sisi, mwisho wao wasioitii Injili ya Mungu utakuwaje?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo