Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 12:5 - Swahili Revised Union Version

Naam, BWANA, Mungu wa majeshi; BWANA ndilo kumbukumbu lake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alipambana na malaika, akamshinda; alilia machozi na kuomba ahurumiwe. Huko Betheli, alikutana na Mungu, huko Mungu aliongea naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alipambana na malaika, akamshinda; alilia machozi na kuomba ahurumiwe. Huko Betheli, alikutana na Mungu, huko Mungu aliongea naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alipambana na malaika, akamshinda; alilia machozi na kuomba ahurumiwe. Huko Betheli, alikutana na Mungu, huko Mungu aliongea naye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bwana Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, Mwenyezi Mungu ndilo jina lake!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, bwana ndilo jina lake!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, BWANA, Mungu wa majeshi; BWANA ndilo kumbukumbu lake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 12:5
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akaamka katika usingizi wake, akasema, Kweli BWANA yupo mahali hapa, ijapokuwa mimi sikujua.


Yakobo akapaita mahali pale, Penieli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.


Mungu akamtokea Yakobo tena, aliporudi kutoka Padan-aramu akambariki.


Ee BWANA, jina lako linadumu milele, BWANA, sifa zako zitakumbukwa na vizazi vyote.


Mwimbieni BWANA zaburi, Enyi watauwa wake. Na kutoa shukrani. Kwa kukumbuka utakatifu wake.


Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.


Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.