Mwanzo 28:16 - Swahili Revised Union Version16 Yakobo akaamka katika usingizi wake, akasema, Kweli BWANA yupo mahali hapa, ijapokuwa mimi sikujua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Ndipo Yakobo akaamka usingizini, akasema, “Hakika, Mwenyezi-Mungu yupo mahali hapa, nami sikujua!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Ndipo Yakobo akaamka usingizini, akasema, “Hakika, Mwenyezi-Mungu yupo mahali hapa, nami sikujua!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Ndipo Yakobo akaamka usingizini, akasema, “Hakika, Mwenyezi-Mungu yupo mahali hapa, nami sikujua!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Yakobo alipoamka kutoka usingizi, akawaza, “Hakika Mwenyezi Mungu yuko mahali hapa, wala mimi sikujua.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Yakobo alipoamka kutoka usingizini, akawaza, “Hakika bwana yuko mahali hapa, wala mimi sikujua.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Yakobo akaamka katika usingizi wake, akasema, Kweli BWANA yupo mahali hapa, ijapokuwa mimi sikujua. Tazama sura |