Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 9:2 - Swahili Revised Union Version

Tena, wana wa Israeli na waadhimishe sikukuu ya Pasaka kwa wakati wake ulioagizwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Waisraeli sharti waiadhimishe sikukuu ya Pasaka wakati uliopangwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Waisraeli sharti waiadhimishe sikukuu ya Pasaka wakati uliopangwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Waisraeli sharti waiadhimishe sikukuu ya Pasaka wakati uliopangwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Waamuru Waisraeli waadhimishe Pasaka katika wakati ulioamriwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Waamuru Waisraeli waadhimishe Pasaka katika wakati ulioamriwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena, wana wa Israeli na waadhimishe sikukuu ya Pasaka kwa wakati wake ulioagizwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 9:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Naye mfalme akawaamuru watu wote, akasema, Mfanyieni BWANA, Mungu wenu, Pasaka, kama ilivyoandikwa katika kitabu hiki cha agano.


Naye Yosia akamfanyia BWANA Pasaka huko Yerusalemu; wakachinja Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.


Kisha, wana wa uhamisho wakaifanya Pasaka, mwezi wa kwanza siku ya kumi na nne ya mwezi.


Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni Pasaka ya BWANA.


Tena, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi, ni Pasaka ya BWANA.


Siku ya kumi na nne ya mwezi huu, wakati wa jioni, mtaiadhimisha kwa wakati wake ulioagizwa; kwa amri zake zote, na kama hukumu zake zote zilivyo, ndivyo mtakavyoisherehekea.


Katika siku ya kwanza ya mikate isiyochachwa, walipoichinja Pasaka, wanafunzi wake wakamwambia, Ni wapi utakapo tuende tukuandalie uile Pasaka?


Ikafika siku ya mikate isiyotiwa chachu, ambayo ilipasa kuchinja Pasaka.


Basi wana wa Israeli wakapanga hema zao huko Gilgali; nao wakala sikukuu ya Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi, jioni, katika nchi tambarare za Yeriko.