Hesabu 28:16 - Swahili Revised Union Version16 Tena, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi, ni Pasaka ya BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 “Siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza ni Pasaka ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 “Siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza ni Pasaka ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 “Siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza ni Pasaka ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 “ ‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 “ ‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Tena, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi, ni Pasaka ya BWANA. Tazama sura |