Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 6:8 - Swahili Revised Union Version

Siku zote za kujitenga kwake, yeye ni mtakatifu kwa BWANA

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Muda wote atakaokuwa mnadhiri atakuwa wakfu kwa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Muda wote atakaokuwa mnadhiri atakuwa wakfu kwa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Muda wote atakaokuwa mnadhiri atakuwa wakfu kwa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kipindi chote cha kujitenga kwake, yeye ni wakfu kwa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kipindi chote cha kujitenga kwake yeye ni wakfu kwa bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku zote za kujitenga kwake, yeye ni mtakatifu kwa BWANA

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 6:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hatajitia unajisi kwa ajili ya baba yake, wala kwa ajili ya mamaye, wala kwa kaka yake, wala kwa dada yake, wakifa wao; kwa sababu ya huku kujiweka kwa Mungu ni juu ya kichwa chake.


Na kama mtu yeyote akifa ghafla karibu naye, akajitia unajisi kichwa cha kutengwa kwake, ndipo atakinyoa kichwa siku hiyo ya kutakaswa kwake, atakinyoa siku ya saba.


Niliomba nipewe mtoto huyu; BWANA akanipa dua yangu niliyomwomba;


kwa sababu hiyo mimi nami nimempa BWANA mtoto huyu; wakati wote atakaokuwa hai amepewa BWANA. Naye akamwabudu BWANA huko.